1066
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 10 |
Karne ya 11
| Karne ya 12
| ►
◄ |
Miaka ya 1030 |
Miaka ya 1040 |
Miaka ya 1050 |
Miaka ya 1060
| Miaka ya 1070
| Miaka ya 1080
| Miaka ya 1090
| ►
◄◄ |
◄ |
1062 |
1063 |
1064 |
1065 |
1066
| 1067
| 1068
| 1069
| 1070
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1066 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
Zulia ya picha ya Bayeux inaonyesha picha za mapigano ya Hastings 1066. Maandishi ya Kilatini yasema: Willelm Dux in magno .. (Mtemi William katika kubwa..)
Ulaya - Uingereza:
- 25 Septemba - Mapigano kwa daraja la Stamford (Uingereza): Mfalme Harold wa Uingereza anazuia jaribio la Waviking Wanorway la kuvamia Uingereza. Jeshi la Uingereza laelekea mara moja kwa mbio kusini dhidi ya Wanormandy.
- 14 Oktoba - Mapigano ya Hastings; jeshi lililochoka la Uingereza linashindwa na Wanormandy chini ya William Mshindi. Uingereza unatekwa na Wanormandy.
- 25 Desemba - William Mshindi wa Normandy anapokea cheo cha mfalme wa Uingereza.
Afrika:
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
WaliofarikiEdit
- 5 Januari - Edward Muungamaji (Mfalme wa Uingereza, na Mtakatifu)
- 25 Septemba - Mfalme Harald III wa Norway kwenye mapigano kwa daraja la Stamford
- 14 Oktoba - Mfalme Harold wa Uingereza kwenye mapigano ya Hastings
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikimedia Commons ina media kuhusu: