Machweo (au Magharibi) ni kipindi cha siku ambapo jua linatoweka kabisa kwa macho ya watu wa eneo fulani, kabla ya kwanza usiku. Kinyume chake ni macheo au pambazuko inayotokea wakati usiku unakwisha na mchana unaanza.

Jua, dakika moja kabla ya kuchwa huko Ureno.
Machweo katika Hifadhi ya Taifa Nyerere Tanzania.

Wakati huo rangi nyekundu inatawala mandhari.

Binadamu na wanyama wengi wakati huo wanakwenda mahali pa kupumzika usiku.

Dini mbalimbali zinaagiza sala kwa wakati huo, kwa mfano Ukristo na Uislamu.

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Vipindi vya siku  

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo