Alasiri (kutoka Kiarabu) ni kipindi cha mchana kati ya adhuhuri na jioni, wakati ukali wa mwanga wa jua unapozidi kupungua.

Pwani ya Atlantiki wakati wa alasiri.

Kwa kawaida wakati huo kwa binadamu unafuata mlo: hivyo utendaji wake unapungua pamoja na umakinifu wake. Ndiyo sababu ajali nyingi huwa zinatokea wakati huo.

Dini mbalimbali zenye ratiba ya sala, kwa mfano Ukristo na Uislamu, zina kipindi maalumu kwa alasiri.

Marejeo

hariri
  • Aggarwal, Anjali; Upadhyay, Ramesh (2013). Heat Stress and Animal Productivity. Springer Publishing. ISBN 978-8-132-20879-2. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Blaskovich, Jim (2011). Social Psychophysiology for Social and Personality Psychology. ISBN 978-0-85702-405-3. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Ekirch, A. Roger (2006). At Day's Close: Night in Times Past. W. W. Norton & Company. ISBN 978-0-393-32901-8. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • McCabe, Paul T. (2004). Contemporary Ergonomics. CRC Press. ISBN 0-8493-2342-8. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Ray, James T. (1960). Human Performance as a Function of the Work–Rest Cycle. National Academy of Sciences. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Refinetti, Roberto (2006). Circadian Physiology (toleo la 2nd). Taylor & Francis Group. ISBN 978-0-8493-2233-4. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Sinclair, Thomas M.; Weiss, Albert (2010). Principles of Ecology in Plant Production. University of Nebraska, Lincoln/University of Florida. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)

Viungo vya nje

hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Vipindi vya siku  

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo