Augusto Chapdelaine

Mmishonari Mkristo wa Ufaransa wa karne ya 19, mfiadini, mtakatifu wa Kikatoliki

Augusto Chapdelaine, M.E.P. (La Rochelle, 6 Februari 1814Xilin, 29 Februari 1856) alikuwa padri kutoka Ufaransa aliyefanya umisionari barani Asia akauawa nchini China pamoja na Wakristo wapya wengi kwa ajili ya imani yake ya Kikristo[1] aliyekuwa wa kwanza kuieneza katika eneo la Guangxi.

Mt. Auguste Chapdelaine.

Alipokamatwa alipigwa viboko mara 300, halafu akafungwa tunduni na mwisho alikatwa kichwa chake.

Alitangazwa kuwa mtakatifu pamoja na wengine 119 waliofuata kifodini chake na Papa Yohane Paulo II tarehe 1 Oktoba 2000.[2]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, lakini pamoja na wenzake ni tarehe 9 Julai[3].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. "Saint Francis Ferdinand de Capillas". Patron Saints Index. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-05-06. Iliwekwa mnamo 2008-04-24.
  2. "Den hellige Frans Fernández de Capillas (1607-1648)" (kwa Norwegian). katolsk.no. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-02-09. Iliwekwa mnamo 2009-04-24. {{cite web}}: Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: unrecognized language (link)
  3. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.