Chad (au Ceadda; alifariki 2 Machi 672) alikuwa abati wa monasteri mbalimbali za Uingereza, halafu askofu wa York na hatimaye wa Lichfield.

Chad katika dirisha la kioo cha rangi, Holy Cross Monastery, West Park, New York.

Alijitahidi kufanya uchungaji kwa ukamilifu wa maisha kufuatana na mifano bora ya Mababu wa Kanisa.

Pamoja na kaka yake Cedd anasifiwa kwa kuingiza Ukristo katika ufalme wa Mercia ambao wakati huo ulikuwa na ufukara mkubwa.[1].

Wote wawili wanaheshimiwa tangu kale kama watakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Machi[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Bassett, Steven, Ed. The Origins of the Anglo-Saxon Kingdoms. Leicester University Press, 1989. ISBN|978-0-7185-1367-2
  • Fletcher, Richard. The Conversion of Europe: From Paganism to Christianity 371–1386. HarperCollins, 1997. ISBN|0-00-255203-5
  • Mayr-Harting, Henry. The Coming of Christianity to Anglo-Saxon England. 1991. Pennsylvania State University Press. ISBN|978-0-271-00769-4
  • Rudolf Vleeskruijer The Life of St.Chad, an Old English Homily edited with introduction, notes, illustrative texts and glossary by R. Vleeskruyer, North-Holland, Amsterdam (1953)

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.