Engrasya (Braga, Ureno, karne ya 3 - Zaragoza, Hispania, 304 hivi) alikuwa bikira aliyestahimili mateso na kifodini katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano dhidi ya Wakristo [1]. Siku hizi wengine wanamtaja kaisari Valerian (254-260)[2]

Mt. Engrasya alivyochorwa.

Heshima ya watu kwake kama mtakatifu ni ya zamani sana. Mshairi Prudentius (348-410), mwenyeji wa mji huo, alitunga utenzi juu yake na ya wafiadini wenzake[3].

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 16 Aprili[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • S. EUGENIO DE TOLEDO, De basílica ss. decein et octo martyrum: Ed. Vollmer, en MGH, Autores Antiquissimi, 14 (1905), 239 ss.
  • PRUDENCIO, Periste fanon, ed. BAC, Madrid 1950, IV, 540 ss.
  • A. FABREGA GRAU, Pasionario Hispánico, I, Madrid 1953, 168 ss.; II, ib. 1955, 371 ss.
  • RIESCO CHUECA, Pilar: Pasionario hispánico, Universidad de Sevilla, 1995.
  • Lamberto de Zaragoza na Ramon de Huesca, Teatro historico de las iglesias del reyno de Aragon, vol. 2, ed. J.M. Ezquerro, 1787

Marejeo mengine hariri

  • R. JIMÉNEZ PEDRAJAS, El santoral hispánico del martirologio de Usuardo (tesis doct.), P. U. Gregoriana, Roma 1969, I, 79 ss.; II, 554 ss.
  • C. GARCÍA RODRÍGUEZ, El culto de los Santos en la España romana y visigoda, Madrid 1966, 324 ss.
  • BENEDICTINOS DE PARÍS, Vies des Saints, IV, París 1946, 366 ss.; Z. GARCÍA VILLADA, Historia eclesiástica de España, Madrid 1929-30.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.