Ermengild
Ermengild (pia: Hermenegildo, kutoka Kigoti Airmana-gild; alifariki Hispalis, Hispania, 585 hivi) alikuwa mwanamfalme aliyeuawa kwa shoka kwa ajili ya imani ya Kikatoliki kwa amri ya baba yake, mfuasi wa Ario[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ Markus, Robert Austin (9 October 1997). Gregory the Great and His World. Cambridge University Press, 165. ISBN 978-0-521-58608-5.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/31850
- ↑ Martyrologium Romanum
VyanzoEdit
- (1991) Butler's Lives of the Saints: Concise Edition, Revised and Updated. San Francisco: Harper. ISBN 0-06-069299-5.
- Innes, Matthew (2007). Introduction to Early Medieval Europe, 300-900. The sword, the plough and the book.. Routledge, 552. ISBN 978-0-203-64491-1.
Viungo vya njeEdit
- Lives of the Saints: April 13 St. Hermenegild, Martyr
- Saint Hermenegild engraved by L. Beck, from De Verda collection
- Saint Hermenegild, Martyr at the Christian Iconography web site
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |