Gujarat ni jimbo la kujitawala ndani ya shirikisho la Uhindi.

Moja ya Sehemu ya mji ndani ya jimbo la wa Gujarat
Gujarat kwenye ramani ya India.
Ramani ya Gujarat.
Ramani ya Gujarat.

Mji mkuu ni Gandhinagar ambao ni mji mpya uliopewa jina hilo kwa heshima ya Mahatma Gandhi aliyezaliwa Porbandar, jimboni Gujarat. Mji mkubwa ni Ahmedabad, ukifuatwa na Surat.

Gujarat ina eneo la km² 196,024 zinazokaliwa na watu milioni 50.

Lugha rasmi ni Kigujarati inayotumiwa na asilimia 80 za wakazi.

Wengi wao ni Wahindu (88.57%), kuna pia Waislamu (9.67%), Wajain (0.96%), Wakristo (0.52%) n.k.

Miji mikubwa ya Gujarat
Jina Wilaya Idadi ya wakazi
Ahmedabad Ahmedabad 6,357,693
Surat Surat 5,935,000
Vadodara Vadodara 2,065,771
Rajkot Rajkot 1,390,640
Bhavnagar Bhavnagar 605,882
Jamnagar Jamnagar 479,92
Junagadh Junagadh 319,462
Gandhinagar Gandhinagar 292,167
Gandhidham Kutch 248,705
Nadiad Kheda 225,071
Morbi Morbi 210,451
Anand, Gujarat Anand 209,41
Mehsana Mehsana 190,753
Surendranagar Dudhrej Surendranagar 177,851
Veraval Gir Somnath 171,121
Navsari Navsari 171,109
Bharuch Bharuch 169,007
Vapi Valsad 163,63
Porbandar Porbandar 152,76
Bhuj Kutch 148,834


Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Gujarat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.