Josef Bilczewski (26 Aprili 186020 Machi 1923) alikuwa askofu mkuu wa Lviv (leo nchini Ukraina) kuanzia mwaka 1900 hadi kifo chake, akijitahidi kwa upendo wenye ari kuinua maadili na ujuzi wa dini wa mapadri na waumini wa jumla wa jimbo lake la Kilatini[1][2][3]

Picha halisi ya Mt. Józef Bilczewski.

Lakini pia alisaidia watu kwa kila namna wakati wote wa Vita vikuu vya kwanza, akajaribu kupatanisha Wapolandi na Waukraina waliochukiana na kupigana, akaendelea baada ya Wakomunisti kuteka nchi hizo mbili.[1][3]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 26 Juni 2001 halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 23 Oktoba 2005.[2]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. 1.0 1.1 Saint Jósef Bilczewski. Saints SQPN (17 March 2017). Retrieved on 8 April 2017.
  2. 2.0 2.1 Saint Josef Bilczewski. Santi e Beati. Retrieved on 8 April 2017.
  3. 3.0 3.1 Joseph Bilczewski (1860-1923). Holy See. Retrieved on 8 April 2017.
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.