Jumba la Mtwana
Jumba la Mtwana ni eneo la nchini Kenya lililoko katika pwani ya bahari ya Hindi huko Mtwapa Creek, Malindi katika kaunti ya Kilifi, kaskazini kwa Mombasa.

Eneo hilo la kihistoria na kumbukumbu za akiolojia lilianzia katika karne ya 14[1] huku vipengele vyake vikijumuisha na msikiti.
Tazama pia Edit
Marejeo Edit
Viungo vya nje Edit
- media kuhusu Jumba la Mtwana pa Wikimedia Commons
Coordinates: 3°57′00″S 39°46′00″E / 3.95°S 39.7667°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jumba la Mtwana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |