Karne ya 3
karne
(Elekezwa kutoka Karne III)
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 1 |
Karne ya 2 |
Karne ya 3
| Karne ya 4
| Karne ya 5
| ►
Miaka ya 200 |
Miaka ya 210 |
Miaka ya 220 |
Miaka ya 230 |
Miaka ya 240 |
Miaka ya 250 |
Miaka ya 260 |
Miaka ya 270 |
Miaka ya 280 |
Miaka ya 290
Karne ya 3 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 201 na 300. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 201 na kuishia 31 Desemba 300. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c4/East-Hem_200ad.jpg/300px-East-Hem_200ad.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c5/World_in_250_CE.png/300px-World_in_250_CE.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fa/East-Hem_300ad.jpg/300px-East-Hem_300ad.jpg)
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya binadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Matukio
haririKarne: Karne ya 2 | Karne ya 3 | Karne ya 4 |
Miongo na miaka |
Miaka ya 200 | 200 201 202 203 204 205 206 207 208 209 |
Miaka ya 210 | 210 211 212 213 214 215 216 217 218 219 |
Miaka ya 220 | 220 221 222 223 224 225 226 227 228 229 |
Miaka ya 230 | 230 231 232 233 234 235 236 237 238 239 |
Miaka ya 240 | 240 241 242 243 244 245 246 247 248 249 |
Miaka ya 250 | 250 251 252 253 254 255 256 257 258 259 |
Miaka ya 260 | 260 261 262 263 264 265 266 267 268 269 |
Miaka ya 270 | 270 271 272 273 274 275 276 277 278 279 |
Miaka ya 280 | 280 281 282 283 284 285 286 287 288 289 |
Miaka ya 290 | 290 291 292 293 294 295 296 297 298 299 |
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama vile:
- Serikali ya Dola la Roma inazidi kudhulumu Wakristo, ingawa kwa kwikwi
- Roma inaanza kufanya biashara na China.
Watu maarufu
hariri- Kaisari Aurelian
- Kaisari Filipo Mwarabu
- Kaisari Valerian
- Klementi wa Aleksandria, mwanateolojia wa Ukristo
- Mani, mwanzilishi wa dini ya Umani
- Origen, padri na mtaalamu wa Biblia ya Kikristo
- Papa Korneli, mfiadini
- Plotinus, mwanafalsafa
- Sipriani, askofu na mfiadini
- Tertullian, padri na mwanateolojia