Klara wa Montefalco
Klara wa Montefalco (Montefalco, Perugia, Umbria, 1268 - Montefalco, 17 Agosti 1308) alikuwa mmonaki wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko, halafu abesi wa shirika la Waaugustino[1].

Papa Leo XIII alimtangaza mtakatifu tarehe 8 Desemba 1881.
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
- ↑ Donovan, Stephen M. (1908). "St. Clare of Montefalco". Catholic Encyclopedia. 4. New York: Robert Appleton Company.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje Edit
- Clare of Montefalco at Order of Saint Augustine
- Life of Clare of Montefalco (Augustinians of the Midwest)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |