Burgenland : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
https://www.burgenland.at/
(Hakuna tofauti)

Pitio la 17:36, 12 Desemba 2020

Burgenland (kwa Kijerumani pia: Burgenland) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 294.316 kwenye eneo la km² 3.965.

Mahali pa Salzburg katika Austria
Bendera ya Salzburg

Mji mkuu ni Eisenstadt. Waziri mkuu ni Hans-Peter Doskozil (SPÖ).

Jiografia

Jimbo la Burgenland imepakana na Nchina ya Slovakia, Uhungaria na Slovenia na Majimbo wa Austria Chini na Steiermark.

Eisenstadt ndio jiji kubwa tu lenye idadi ya wakazi zaidi ya 14,816.

Leitha, Wulka hii ni mito wa Burgenland


Picha za Salzburg

Tovuti za Nje

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Majimbo ya Austria
 
Austria Chini (Niederösterreich)Austria Juu (Oberösterreich)BurgenlandKarinthia (Kärnten)SalzburgSteiermarkTirolVienna (Wien)Vorarlberg
  Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Burgenland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.