Eustokia Calafato
Eustokia Smeralda Calafato wa Messina, Italia (25 Machi 1434 - 20 Januari 1485).
Alikuwa mmonaki, halafu abesi katika Shirika la Mtakatifu Klara.
Alizaliwa akafariki katika mji huo. Maiti yake haijaoza.
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu bikira tarehe 11 Juni 1988.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- "Eustochia Calafato". Patron Saints Index. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-12-19. Iliwekwa mnamo 2007-12-12.
- http://www.vatican.va/news_services/liturgy/saints/ns_lit_doc_19880611_calafato_it.html Maisha yake kwa Kiitalia
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |