Malipizi

Malipizi (kutoka kitenzi "kulipa") ni matendo yanayofanywa ili kufidia hasa makosa na madhara.

Katika UkristoEdit

Neno hilo linatumika sana katika Ukristo kuhusu kufidia dhambi[1], kama vile kwa kukamilisha sakramenti ya kitubio.

Katika dini hiyo inaeleweka kwamba malipizi kamili ni yale ya Yesu msalabani[2].

TanbihiEdit

  1. Pope Pius XI, "Miserentissimus Redemptor", §6, Libreria Editrice Vaticana
  2. Kilmartin, Edward J. (1999). The Eucharist in the West, History and Theology. Collegeville, MN: Liturgical Press, 381f.. ISBN 0814661726.  See also Robert Daly, “Sacrifice Unveiled or Sacrifice Revisited”. Theological Studies, March 2003 and Walter Kasper, The God of Jesus Christ. Crossroad (1986), pp. 191,195. ISBN|0824507770.
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Malipizi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.