Utume
Utume ni fukuto la Kiroho zaidi ndani ya Roho ya mtu yenye kuigusa nafsi, ni hali ya kusikia sauti ya rohoni na kuitika kutumika sawasawa na kusudio la Neno la Muumbaji.
Katika Ukristo ni wito wa kumtaka mtu kutumikia ufalme wa Mungu kama Yesu Kristo alivyofanya wakati wa uhai wake akiwa na wanafunzi wake (Mitume wa Yesu). Aliwachagua na kuwatuma wawiliwawili ama 12 na mara nyingine 72. Waliitika sauti wakaenda huku na huko na waliporejea walitoa taarifa ya kazi: "...hata pepo wametutii kwa jina lako (Yesu)."
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |