Marko wa Yerusalemu
Marko wa Yerusalemu (alifariki 185) alikuwa askofu wa kwanza wa Yerusalemu ambaye kwa asili hakuwa Myahudi[1] kuanzia mwaka 134, wakati ambapo mji huo ulijengwa upya na Waroma baada ya Vita ya tatu ya Kiyahudi kama mji wa Kipagani, hadi kifo chake[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |