Mena wa Konstantinopoli

Mena wa Konstantinopoli (mzaliwa wa Aleksandria (Misri), alifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 25 Agosti 552) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 536 hadi kifo chake[1].

Picha yake.

Alitabaruku kanisa la Hagia Sofia

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Agosti[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Henwy Wace e William C. Piercy, A Dictionary of Christian Biography and Literature to the End of the Sixth Century A.D., with an Account of the Principal Sects and Heresies, 1911

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.