Mgeta ni kata na makao makuu ya tarafa ya uwanda wa juu (hadi mita 2,200 na zaidi juu ya UB) katika wilaya ya Mvomero, mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 67321.

Ndiyo sehemu ambayo Waluguru wa mwanzo walitokea huko.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 3,789 [1].

Ni sehemu inayosifika sana kwa kilimo cha mboga na matunda, kwa mfano njegere, maharage, mahindi, magimbi na viazi mviringo. Pia ndipo soko kubwa la matunda na mbogamboga lilipo Nyandira.

Tanbihi hariri

  Kata za Wilaya ya Mvomero - Mkoa wa Morogoro - Tanzania  

Bunduki | Dakawa | Diongoya | Doma | Hembeti | Homboza | Kanga | Kibati | Kikeo | Kinda | Kweuma | Langali | Luale | Lubungo | Mangae | Maskati | Melela | Mgeta | Mhonda | Mkindo | Mlali | Msongozi | Mtibwa | Mvomero | Mziha | Mzumbe | Nyandira | Pemba | Sungaji | Tchenzema


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mgeta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa na viongozi wa sasa maana wanabadilika haraka mno.