Motörhead ni kundi la muziki wa rock kutoka nchini Uingereza. Kundi linaunganishwa na watu kama Ian "Lemmy" Kilmister, Phil Campbell na Mikkey Dee. Walivuma sana miaka ya 1970 na 1980.

Motörhead
Juu: Phil Campbell, Mikkey Dee, Lemmy Kilmister
Juu: Phil Campbell, Mikkey Dee, Lemmy Kilmister
Maelezo ya awali
Asili yake London, Uingereza
Aina ya muziki Rock, Heavy metal
Miaka ya kazi 1975 -
Wanachama wa sasa
Ian "Lemmy" Kilmister
Phil Campbell
Mikkey Dee

Muziki hariri

Albamu

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: