Yohakimu (kutoka Kiebrania יְהוֹיָקִים, Yəhôyāqîm, kwa Kigiriki Ἰωακείμ, Iōākeím, yaani "Yule ambaye YHWH amemuinua") anaheshimiwa kama baba wa Bikira Maria na babu wa Yesu kadiri ya mapokeo ya Ukristo na Uislamu, ingawa hatajwi katika Biblia[1] isipokuwa katika kitabu cha karne ya 2 kinachoitwa Injili ya Yakobo na vingine vilivyofuata[2].

Watakatifu Yoakimu na Ana, wazazi wa Bikira Maria.

Humo anatajwa pia mke wake Ana[3].

Wote wawili wanaheshimiwa kama watakatifu katika madhehebu mengi ya Ukristo, hasa tarehe 26 Julai[4][5].

Katika Kurani anajulikana kama nabii Imran.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohakimu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.