Nikolai Velimirovic

Nikolai Velimirovich (kwa Kiserbokroatia: Николај Велимировић; 4 Januari 188118 Machi 1956) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa majimbo wa Ohrid na Žiča (1920-1956), mwanateolojia na mhubiri maarufu wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia.[1]

Picha yake halisi.

Wakati wa vita vikuu vya pili alitekwa na Wajerumani na kupelekwa katika kambi la Dachau.

Baada ya kufunguliwa hakurudi Yugoslavia bali alihamia Marekani mwaka 1946 hadi kifo chake.

Alitangazwa na Kanisa lake kuwa mtakatifu tarehe 24 Mei 2003.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Machi[2][3][4].

Baadhi ya maandishi yake hariri

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Commemorated March 5/18 (+1956). "Life of St. Nikolai Velimirovich". Orthodoxinfo.com. Iliwekwa mnamo 30 March 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Repose of St Nicholas of Zhicha. OCA - Lives of the Saints.
  3. The Autonomous Orthodox Metropolia of Western Europe and the Americas (ROCOR). St. Hilarion Calendar of Saints for the year of our Lord 2004. St. Hilarion Press (Austin, TX). p.22.
  4. "03 May 2017". Eternal Orthodox Church Calendar. Iliwekwa mnamo 27 January 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)

Vyanzo hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.