Oto wa Ariano
Oto wa Ariano (Roma, Italia, 1040 - 23 Machi, 1127) alikuwa mmonaki Mbenedikto halafu mkaapweke kutoka familia tajiri, ambaye alishika toba baada ya kuwa askari katika ujana wake[1].

Mt. Oto Frangipane akisali kwenye makao yake karibu na Ariano Irpino.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/91968
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Paul Guérin (a cura di), Vie des Saints des Petits Bollandistes, Parigi, Bloud et Barral editori, 1876, tomo III, p. 607.
MarejeoEdit
- A.D’Agostino, Sant'Ottone Frangipane - Ariano, Stab. Tip. Appulo Irpino, 1892.
- B.A.Grasso, Sant'Ottone Frangipane nella storia e nella leggenda - Ariano, Stab. Tip. Appulo Irpino, 1901.
- F.De Stasio-D. Minelli, I Santi Patroni di Ariano e le Sante Spine - Marigliano, 1982
Viungo vya njeEdit
- Sant’Ottone Frangipane (Kiitalia)
- Diocese of Ariano and Lacedonia: Notes on Ottone Frangipane[dead link] (Kiitalia)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |