Papa Anastasio III

(Elekezwa kutoka Papa Anastasius III)

Papa Anastasio III alikuwa Papa kuanzia Juni/Septemba 911 hadi kifo chake mwezi wa Juni/Oktoba 913[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Anastasio III.

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Anastasius.

Alimfuata Papa Sergio III akafuatwa na Papa Lando.

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Anastasio III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.