Papa Benedikto VIII

Papa Benedikto VIII alikuwa Papa kuanzia tarehe 18 Mei 1012 hadi kifo chake tarehe 9 Aprili 1024[1].

Papa Benedikto VIII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Theophylactus wa ukoo wa watawala wa Tusculum, Roma, Italia[2]. .

Alimfuata Papa Sergio IV akafuatwa na Papa Yohane XIX.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.