Prokulo, Eutisi na Akusi

Prokulo, Eutisi na Akusi (walifariki Pozzuoli, mkoa wa Campania, leo nchini Italia, 19 Septemba 305) walikuwa Wakristo wa mji huo waliouawa kwa ajili ya imani yao pamoja na askofu Januari na wengine watatu wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1][2].

Kifodini cha Mt. Januari kadiri ya Artemisia Gentileschi (1636). Shemasi Prokulo anaonekana chini kushoto.

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa hasa tarehe 18 Oktoba[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. J. Stilting (1703-1762), Acta ss. Januari episcopi, Sosii, Festi et Proculi diaconorum, Desiderii lectoris, Eutychis vel Eutychetis et Acutii martyrum Puteolis in Campania felice, commentario e notationibus illustrata a Joanne Stiltingo, Antuerpiae, apud Bernardum Albert Vander Plassche, 1757.
  2. Santi Procolo, Eutiche e Acuzio
  3. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.