Saserdosi wa Lyon (pia: Sardot au Serdot; 487 - 552[1]) alikuwa askofu mkuu wa mji huo, leo nchini Ufaransa [2][3] kuanzia mwaka 544 hadi kifo chake[4][5].

Sanamu ya Mt. Saserdosi katika kanisa la Mt. Paulo, Lyon.

Alikuwa mtoto wa askofu Rustiko wa Lyon ambaye anaheshimiwa kama mtakatifu. Mwenyewe naye, kabla ya kupata uaskofu, aliwahi kuoa na kuzaa mtoto mmoja, Aureliano wa Arles, ambaye pia anaheshimika hivyo [6].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Septemba[7].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Archevêques de Lyon, p. 26
  2. Archdiocese of Lyon, France at Catholic Saints.info.
  3. Christian Settipani, Les ancêtres de Charlemagne, 1989
  4. Bernard Berthod, Jacqueline Boucher, Bruno Galland, Régis Ladous and André Pelletier, Archevêques de Lyon, Lyon, Éditions lyonnaises d'art et d'histoire, 2012, 191 p. (ISBN 9782841472284, notice BnF no FRBNF43719523)
  5. Emmanuel Bernot, Clémence Mège, Émilie Robert, Céline Cadieu-Dumont et Audrey Baradat, Rapport de fouilles archéologiques préventives « La cure de Saint-Georges » : vol. 1 : Texte, Service archéologique de la ville de Lyon - Direction des affaires culturelles, juillet 2007.
  6. http://www.santiebeati.it/dettaglio/69830
  7. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.