Serboni
Serboni (kwa Kilatini: Cerbonius; Afrika Kaskazini, 493 - Elba, Toscana, Italia, 575) alikuwa askofu wa Populonia wakati wa uhamisho mkuu wa Ulaya.
Hapo alihamia katika kisiwa cha Elba alipotoa mifano ya utakatifu na kutenda miujiza mingi.
Gregori Mkuu alimsifu katika Kitabu XI cha Majadiliano.[1]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "San Cerbone, il santo patrono di Massa Marittima". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-22. Iliwekwa mnamo 2019-09-13.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
- Cerbonius of Piombino Archived 4 Agosti 2019 at the Wayback Machine.
- Saint Cerbonius
- (Kiitalia) San Cerbone Archived 22 Julai 2007 at the Wayback Machine.
- (Kiitalia) San Cerbonio (Cerbone)
- (Kijerumani) Cerbonius
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |