Serboni (kwa Kilatini: Cerbonius; Afrika Kaskazini, 493 - Elba, Toscana, Italia, 575) alikuwa askofu wa Populonia wakati wa uhamisho mkuu wa Ulaya.

Mt. Serboni katika kioo cha rangi.

Hapo alihamia katika kisiwa cha Elba alipotoa mifano ya utakatifu na kutenda miujiza mingi.

Gregori Mkuu alimsifu katika Kitabu XI cha Majadiliano.[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Oktoba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "San Cerbone, il santo patrono di Massa Marittima". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-22. Iliwekwa mnamo 2019-09-13. 
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.