Severino wa Koln
Severino wa Koln (Worms, 320 hivi; Cologne, 403) alikuwa Askofu wa Cologne, aliyepinga sana uzushi wa Ario[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- (Kijerumani) The wooden shrine of Saint Severin Archived 12 Machi 2023 at the Wayback Machine.
- http://www.santiebeati.it/dettaglio/74860
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |