Simproniani na wenzake

Simproniani na wenzake Klaudio, Nikostrati, Kastori na Simplisi (walifariki kwenye mto Sava, Panonia, leo nchini Kroasya, 306 hivi) walikuwa wachongamawe (isipokuwa Simplisi) waliouawa katika dhuluma ya Dola la Roma kwa sababu walikataa kuchonga sanamu ya mungu Eskulapi.

Sanamu zao huko Firenze, Italia.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 8 Novemba[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.