Tirso, Leukio na wenzao
Tirso na wenzake Leukio na Kaliniko na wengineo (walifariki Apolonia, Bitinia, leo nchini Uturuki, 251 hivi) walikuwa Wakristo waliofia dini yao hiyo wakati wa dhuluma ya kaisari Decius[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 14 Desemba[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Index of Saints website with thousands of saints, and sources. (an archived, earlier version of "Saint of the Day" at www.saintpatrickdc.org)
- http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=2333
- http://www.santiebeati.it/dettaglio/81370
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |