Visiwa vya Turks na Caicos

(Elekezwa kutoka Turks and Caicos Islands)

Visiwa vya Turks na Caicos ni funguvisiwa la Karibi ambalo ni eneo la ng'ambo la Uingereza. Visiwa hivyo viko karibu na Bahamas.

Turks and Caicos Islands
Visiwa vya Turks na Caicos
Bendera ya Visiwa vya Turks na Caicos Nembo ya Visiwa vya Turks na Caicos
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: One people, one nation, one destiny
Wimbo wa taifa: "God Save the Queen"
Lokeshen ya Visiwa vya Turks na Caicos
Mji mkuu Cockburn Town
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Eneo la ng'ambo la Uingereza
Elizabeth II wa Uingereza
Richard Tauwhare
Michael Misick
'
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
417 km² (ya 199)
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
32,000 (ya 156)
61/km² ()
Fedha U.S. dollar (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
UTC-5 (UTC)
(UTC)
Intaneti TLD .tc
Kodi ya simu +1-649

-


Ramani ya Turks na Caicos
Ramani ya Turks na Caicos

Uvuvi ni msingi wa uchumi.

Visiwa vya Turks & Caicos hariri

Grand Turk hariri

Hiki ni kisiwa kikuu penye uwanja wa ndege na ofisi za serikali.

Providenciales hariri

Ni kisiwa cha utalii.

West Cay hariri

Kisiwa kidogo

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons


  Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Visiwa vya Turks na Caicos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.