Viro (pia: Wiro, Wera, Vira; karne ya 7Roermond, Uholanzi ya leo, 700 hivi) alikuwa mmonaki askofu kutoka Ireland au Britania, maarufu kwa umisionari wake kati ya Wafrisia. Pamoja na wenzake Plekelmi askofu na Odgeri shemasi alianzisha monasteri alimofariki[1].

Sanamu yake.
Mt. Viro katika dirisha la kioo cha rangi.

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Vyanzo hariri

  • Butler's Lives of the Saints. Collegeville, 1996 p. 44

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.