Wilaya ya Ubungo
(makala hii inahusu wilaya ya Ubungo, kuangalia makala ya kata ya Ubungo bonyeza hapa)
Wilaya ya Ubungo | |
Mahali pa Ubungo katika Tanzania |
|
Majiranukta: 6°47′42″S 39°15′58″E / 6.79500°S 39.26611°E | |
Nchi za | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Kinondoni |
Ubungo ni jina la wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 16000[1]. Ubungo inafahamika sana Tanzania kama kitovu kikuu cha Mabasi yaelekeayo mikoani pia ni sehemu ya pekee ttanzania ambayo ina barabara za juu
Kituo cha mabasi cha Ubungo kimeungana na baadhi ya vituo vikubwa vya miji mbalimbali ya Tanzania kama vile cha Arusha, Moshi, Morogoro, Dodoma, Mbeya, Iringa, Mtwara, Lindi, Singida, Tanga na Mwanza; vilevile hadi Nairobi, Lilongwe, Lusaka na miji mingine kadhaa ya Afrika ya Mashariki.
Pia Ubungo ndipo palipo makao makuu ya Tanesco, shirika la umeme la Tanzania.
Marejeo Edit
Kata za Wilaya ya Ubungo - Mkoa wa Dar es Salaam - Tanzania | ||
---|---|---|
Goba | Kibamba | Kimara (Ubungo) | Kwembe | Mabibo | Makuburi | Makurumla | Manzese | Mbezi | Mburahati | Msigani | Saranga | Sinza | Ubungo |
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Ubungo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |