Wilibrodi
Wilibrodi (kwa Kilatini Villibrordus;[1] 658 hivi – 7 Novemba 739) alikuwa mmonaki Mbenedikto kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kwa umisionari wake katika Netherlands ya leo, uliomfanya aitwe "Mtume wa Wafrisia".

Sanamu ya Mt. Wilibrodi huko Echternach.

Ukumbusho wa Wilibrodi huko Trier.
Kaburi la Mt. Wilibrodi.
Alikuwa askofu wa kwanza wa Utrecht akafariki huko Echternach (leo nchini Luxembourg).[2]
Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ (1853) Further Papers Regarding the Relation of Foreign States with the Court of Rome: Presented to the House of Commons ... Jun. 1853 (in en). Harrison.
- ↑ Mershman, Francis. "St. Willibrord." The Catholic Encyclopedia. Vol. 15. New York: Robert Appleton Company, 1912. 5 Mar. 2014
- ↑ Martyrologium Romanum
VyanzoEdit
Viungo vya njeEdit
- Media related to Saint Willibrord at Wikimedia Commons
- A reconstructed portrait of Willibrord, based on historical sources, in a contemporary style.
- Beda Mheshimiwa (731), "Book V: 10, 11; About Willibrord", Ecclesiastical History of the English Nation
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |