Wilibrodi
Wilibrodi (kwa Kilatini Villibrordus;[1] 658 hivi – 7 Novemba 739) alikuwa mmonaki Mbenedikto kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kwa umisionari wake katika Netherlands ya leo, uliomfanya aitwe "Mtume wa Wafrisia".
Alikuwa askofu wa kwanza wa Utrecht akafariki huko Echternach (leo nchini Luxembourg).[2]
Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Further Papers Regarding the Relation of Foreign States with the Court of Rome: Presented to the House of Commons ... Jun. 1853 (in English). Harrison. 1853.
- ↑ Mershman, Francis. "St. Willibrord." The Catholic Encyclopedia. Vol. 15. New York: Robert Appleton Company, 1912. 5 Mar. 2014
- ↑ Martyrologium Romanum
Vyanzo hariri
Viungo vya nje hariri
- Media related to Saint Willibrord at Wikimedia Commons
- A reconstructed portrait of Willibrord, based on historical sources, in a contemporary style.
- Beda Mheshimiwa (731), "Book V: 10, 11; About Willibrord", Ecclesiastical History of the English Nation, archived from the original on 2014-08-14, retrieved 2016-10-07
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |