Yusti na Pastori (walifariki Alcalá de Henares, Hispania, 304 hivi) walikuwa wanafunzi wa shule Wakristo waliouawa kwa kukatwa kichwa katiaka dhuluma ya kaisari Dioklesyano [1]

Sanamu zao katika mnara wa kengele, Barcelona.

Waliposikia gavana amefika ili kuua Wakristo, waliacha shuleni vifaa vyao vya kuandikia, wakakimbilia kifodini kwa hiari: mara walikamatwa, wakapigwa fimbo wakauawa huku wakifarijiana na kuhimizana.[2].

Inasemekana Yusti alikuwa na umri wa miaka 13, na mdogo wake Pastori chini ya miaka 9.

Mshairi Prudentius (348-410) aliwataja kwa majina.

Heshima ya watu kwao kama watakatifu wafiadini ni ya zamani sana.

Sikukuu yao huadhimishwa kila mwaka tarehe 6 Agosti[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • PRUDENCIO, Periste fanon, ed. BAC, Madrid 1950, IV.
  • A. FABREGA GRAU, Pasionario Hispánico, I, Madrid 1953; II, ib. 1955.
  • RIESCO CHUECA, Pilar: Pasionario hispánico, Universidad de Sevilla, 1995.
  • R. JIMÉNEZ PEDRAJAS, El santoral hispánico del martirologio de Usuardo (tesis doct.), P. U. Gregoriana, Roma 1969.
  • C. GARCÍA RODRÍGUEZ, El culto de los Santos en la España romana y visigoda, Madrid 1966.
  • BENEDICTINOS DE PARÍS, Vies des Saints, IV, París 1946, 366 ss.; Z. GARCÍA VILLADA, Historia eclesiástica de España, Madrid 1929-30.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.