Eneo bunge la Kwanza

Eneo bunge la Kwanza ni mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya Majimbo matano katika Kaunti ya Trans-Nzoia. Jimbo hili lina wodi saba, kila moja ikichagua madiwani kwa baraza la Kaunti.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia hariri

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Wabunge hariri

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Noah Wekesa KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 George Kapten Ford-K
1997 George Kapten Ford-K Kapten aliaga dunia mnamo Desemba 1999, ikipelekea Uchaguzi Mdogo [2]
2000 Noah Wekesa Ford-K
2002 Noah Wekesa NARC
2007 Noah Wekesa PNU

Wodi hariri

Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojiandikisha
Chepchoina 8,871
Endebess 8,610
Kaibei 7,346
Kaisagat 7,123
Kapomboi 11,944
Kapsitwet 6,791
Kwanza 9,336
Total 60,021
*Septemba 2005 [3].

Tazama Pia hariri

Marejeo hariri

  1. Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Archived 28 Februari 2008 at the Wayback Machine.
  2. Daily Nation, 17 Aprili 2000: Kanu loss in by-election more than a triumph for opposition party
  3. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency