Eneo bunge la Sigor

Eneo bunge la Sigor ni mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Pokot Magharibi. Lina Wodi 14, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Kaunti.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia hariri

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1988.

Wabunge hariri

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Christopher M. Lomada KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Philip Ruto Rotino KANU
1997 Christopher M. Lomada KANU
2002 Philip Ruto Rotino KANU
2007 Wilson Litole ODM

Wodi hariri

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojiandikisha
Batei 4,107
Cheptulel 2,334
Kaptabuk 3,216
Lelan 4,327
Lomut 3,365
Masol 1,273
Mwino 2,195
Parua 2,484
Porkoyu 826
Sekerot 947
Sekerr 3,063
Sondany 2,053
Tapach 3,024
Wei Wei 4,336
Jumla 37,550
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia hariri

Marejeo hariri