Fredegandi (pia: Fredigand, Frégaud, Frego, Fredegad, Fredegandus, Fridegandus; Ireland, karne ya 7 - Deurne, karibu na Antwerpen, leo nchini Ubelgiji, 740 hivi) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Kiselti aliyefanya kazi kubwa pamoja na Foilani, kueneza imani na umonaki katika Ulaya kaskazini magharibi, akawa abati wa Kerkelodor hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.