Gaetano wa Thiene
Gaetano wa Thiene (Vicenza, 1 Oktoba 1480 – Napoli, 7 Agosti 1547), alikuwa padri wa Italia ambaye alichangia sana uamsho wa Kanisa wakati wa Urekebisho wa Kikatoliki hasa kwa njia ya aina mpya ya utawa aliyoianzisha, maarufu kwa jina la Wateatini, iliyopata kufunga njia kwa mashirika mengine kama la Wajesuiti.
Alitangazwa na Papa Urban VIII kuwa mwenye heri tarehe 8 Oktoba 1629, halafu Papa Klementi X alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Aprili 1671.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- Catholic Encyclopedia: St Cajetan
- Patron Saints Index: Saint Cajetan Archived 10 Mei 2013 at the Wayback Machine.
- [1]
- Statue of St Cajetan in St Peter's Basilica
- [http://web.archive.org/20061103234403/http://www.sancayetano.org.ar/vidadesc.htm Archived 3 Novemba 2006 at the Wayback Machine. Maisha yake kwa Kihispania]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |