Gwido Maria Conforti

Gwido Maria Conforti (3 Machi 18655 Novemba 1931) alikuwa askofu mkuu mmojawapo wa Kanisa Katoliki nchini Italia na mwanzilishi wa shirika la Wamisionari Wasaveri (tarehe 3 Desemba 1895).

Gwido Maria Conforti mwaka 1910.

Alisifiwa kwa kutembelea mara nyingi parokia za jimbo lake na kwa kuinua vijana kwa malezi.[1]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri mwaka 1996 na Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu mwaka 2011.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Picha hariri

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Blessed Guido Maria Conforti". Saints SQPN. 16 March 2010. Iliwekwa mnamo 17 March 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.