Eneo bunge la Gatanga
(Elekezwa kutoka Jimbo la Uchaguzi la Gatanga)
Eneo bunge la Gatanga ni mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi ya Kenya. Jimbo hili ni moja kati ya majimbo saba ya uchaguzi ya Kaunti ya Murang'a. Lina wodi saba ambazo zote zimo katika baraza la Kaunti.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia hariri
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1988 kutokana na kugawanywa kwa jimbo la Kandara kutengeneza majimbo mawili.
Tarafa hariri
Jimbo hili lina tarafa mbili za utawala: Gatanga na Kakuzi, ambayo ilianzishwa mnamo 2002[1].
Wabunge hariri
Uchaguzi | Mbunge [2] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Joseph Mwaura Gachui | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Josephat Mburu Wanyoike | Ford-Asili | |
1997 | David Wakairu Murathe | SDP | |
2002 | Peter Kenneth | NARC | |
2007 | Peter Kenneth | PNU |
Wodi hariri
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha |
---|---|
Gatanga | 14,104 |
Ithanga | 7,801 |
Kakuzi | 6,781 |
Kariara | 8,488 |
Kigoro | 9,331 |
Kihumbuini | 15,542 |
Mitubiri | 8,715 |
Jumla | 70,762 |
*Septemba 2005 [3].
|
Tazama Pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Gatanga Constituency website". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-12-28. Iliwekwa mnamo 2021-01-16.
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Archived 28 Februari 2008 at the Wayback Machine.
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje hariri
- Gatanga Constituency Archived 28 Desemba 2018 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Gatanga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |