Juma Nature

mwanamuziki wa Tanzania

Juma Kassim Ally, anayejulikana zaidi kama Juma Nature au Sir Nature (alizaliwa Dar es Salaam mwaka 1980), ni mwanamuziki wa aina ya Bongo Flava na Hip Hop kutoka Tanzania. Ni mwanzilishi wa kundi maarufu la TMK Wanaume Family.

Juma Nature
Juma Nature
Juma Nature
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Juma Kassim Ally
Pia anajulikana kama Sir. Nature
Kibla
Msitu wa Vina
Jitu la Maneno ya Shombo
Amezaliwa 1980
Kazi yake Rapa
Miaka ya kazi 1997 - hadi leo
Studio Bongo Records
Sound Crafters Records
Mj Records
Ame/Wameshirikiana na Dknob
Mh Temba
Dark Master
TID
Solo Thang
Professor Jay
AY
Inspector Haroun
Chegge
Mandojo na Domokaya
Zay B.

Juma Nature ni msanii mbunifu ambaye si mtunzi wa mashairi tu, bali pia ana kipaji cha kipekee kinachochangiwa na sauti yake nzuri ya uimbaji. Moja ya sababu zinazoufanya muziki wake kupendwa sana Afrika Mashariki ni mashairi yake yenye maana na ujumbe wa kina. Miongoni mwa nyimbo zake zilizompa heshima kubwa kitaifa ni Umoja wa Tanzania, wimbo uliolenga kupatanisha mgogoro wa kisiasa kati ya vyama vya CCM na CUF. Mbali na wimbo huo, Nature ametoa nyimbo nyingi zenye mafunzo na ujumbe wa kizalendo kwa Taifa. [1][2]

Albamu alizotoa

hariri

Marejeo

hariri
  Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Juma Nature kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.