Kaunti ya Nyeri
- Kuhusu mji, tazama Nyeri
Kaunti ya Nyeri ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Kaunti ya Nyeri | |
---|---|
Kaunti | |
Kilele cha Lenana katika Mlima Kenya, Kaunti ya Nyeri | |
Nyeri County in Kenya.svg![]() Kaunti ya Nyeri katika Kenya | |
Nchi | ![]() |
Namba | 19 |
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 |
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Kati |
Makao Makuu | Nyeri |
Miji mingine | Karatina, Othaya, Kiganjo |
Gavana | Edward Mutahi Kahiga |
Seneta | Ephraim Maina |
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa) | Rahab Mukami Wachira |
Bunge la Kaunti | Bunge la Kaunti ya Nyeri |
Eneo | 2,361.0 km2 (911.6 sq mi) |
Idadi ya watu | 693,558 |
Kanda muda | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) |
Tovuti | nyeri.go.ke |
Makao makuu yako Nyeri.
JiografiaEdit
Kaunti ya Nyeri imepakana na Laikipia (kaskazini), Kirinyaga (mashariki), Murang'a (kusini) na Nyandarua (magharibi).
Topografia ya kaunti huwa na miinuko mikali na mabonde. Mlima Kenya hupatikana katika mpaka wa Meru na Nyeri. Mto Chania na Mto Sagana ni mito mikubwa ambayo hupitia katika kaunti hii[1].
UtawalaEdit
Eneo bunge/kata ndogo | Wadi |
---|---|
Tetu | Dedan Kimathi, Wamagana, Aguthi-Gaaki |
Kieni | Mweiga, Naromoro, Kiamathaga, Mwiyogo/Endarasha, Mugunda, Gatarakwa, Thegu River, Kabaru, Gakwa |
Mathira | Ruguru, Magutu, Iriaini, Konyu, Kirimukuyu, Karatina Town |
Othaya | Mahiga, Iria-ini, Chinga, Karima |
Mukurweini | Gikondi, Rugi, Mukurwe-ini West, Mukurwe-ini Central |
Nyeri Town | Kiganjo/Mathari, Rware, Gatitu/Muruguru, Ruring'u, Kamakwa/Mukaro |
Tazama piaEdit
MarejeoEdit
- ↑ A REVIEW OF NYERI COUNTY-KENYA STRATEGIC PLAN 2013 – 2017, iliwekwa mnamo 29/04/2018
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kaunti ya Nyeri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |