Orsisius (kwa Kimisri: Oresiesis-Heru-sa Ast; alifariki 380) alikuwa Mkristo wa Misri, ambaye alimfuata Pakomi jangwani akamsaidia kutunga kanuni ya kwanza kwa ajili ya jumuia za wamonaki[1].

Kiongozi wa monasteri katika kisiwa cha Tabenna, alipofariki Pakomi (348) alichaguliwa kushika nafasi yake, lakini alimuachia Theodori. Baada ya huyo pia kufariki (380 hivi), ndipo tu alipokubali kwa shauri la Atanasi wa Aleksandria.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni.

Maandishi hariri

Jeromu alitafsiri baadhi ya maandishi yake[2]

Vyanzo hariri

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://catholicsaints.info/saint-orsisius
  2. Gennadius, De viris illustribus, IX, aliandika:
    Oresiesis the monk, a colleague of Pachomius and Theodore, perfectly learned in the Scriptures, composed a Divinely savoured book containing instruction for all monastic discipline, in which nearly the whole Old and New Testaments are explained in short dissertations in as far as they affect monks; and shortly before his death he gave this book to his brethren as his testament.
    This is supposed to be the work "Doctrina de institutione monachorum" translated by St. Jerome into Latin (Migne, P.L., CIII, 453 sq., and P.G., XL., 870-894). Migne prints after it P.G., XL., 895 sq., another work attributed to the same author: "De sex cogitationibus sanctorium", which, however, is probably by a later Oresius.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.