Osmundi wa Salisbury

Osmundi wa Salisbury (Seez, Normandy, leo nchini Ufaransa - Salisbury, leo nchini Uingereza, 3 Desemba au 4 Desemba 1099) alikuwa askofu wa 2 wa Salisbury[1] pamoja na kuwa chansela wa ufalme (1070-1078 hivi)[2][3].

Sanamu ya rangi ya Mt. Osmundi.

Papa Kalisti III alimtangaza kuwa mtakatifu tarehe 1 Januari 1457.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Desemba[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Marejeo mengine hariri

  • Stroud, Daphne (Autumn 1983). "St Osmund — Some Contemporary Evidence". The Hatcher Review 2 (16): 243–250.  Check date values in: |date= (help)
  • Greenway, Diana E. (1999). Saint Osmund: Bishop Of Salisbury 1078–1099, And Founder Of The Cathedral At Old Sarum. RJL Smith & Associates. ISBN 978-1872665238. 

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.