Papa Benedikto VI alikuwa Papa kuanzia Desemba 972 au 19 Januari 973 hadi kifo chake mnamo Julai 974[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Benedikto VI.

Jina lake la kuzaliwa halijulikani.

Alimfuata Papa Yohane XIII akafuatwa na Papa Benedikto VII.

Alilindwa hasa na Kaisari Otto I wa Ujerumani. Huyo alipofariki, wenyeji wa mji wa Roma walimfunga Benedikto VI na baada ya miezi michache wakamuua.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.