Papa Stefano V alikuwa Papa kuanzia Septemba 885 hadi kifo chake tarehe 14 Septemba 891[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Stefano V.

Alimfuata Papa Adriano III akafuatwa na Papa Formosus.

Tazama pia

hariri

Maandishi yake

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri

Lua error in package.lua at line 80: module 'Module:Navbar/configuration' not found.

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.