Pasiano
Pasiano (Hispania, 310 hivi - Barcelona, Hispania, 391 hivi) alikuwa askofu wa 2 wa mji huo kuanzia mwaka 365 hadi kifo chake.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8d/San_Paciano_de_Barcelona_%28cropped%29.jpg/250px-San_Paciano_de_Barcelona_%28cropped%29.jpg)
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa[1].
Maisha
haririAliwahi kuoa na kuzaa mtoto aliyefanya kazi ikulu.
Jeromu alisifu maisha yake matakatifu pamoja na usafi wa moyo, ujuzi na ufasaha[3].
Katika kuhubiri alikuwa akisema jina lake ni Mkristo na ubini wake ni Mkatoliki[4].
Maandishi
haririAliandika kuhusu mada mbalimbali, lakini vimetufikia kitabu kimoja juu ya toba na barua tatu tu[5].
Tazama pia
haririTanbihi
hariri- ↑ Documento sin título
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Irondequoit Catholic Communities – - Pacian Archived Oktoba 28, 2007, at the Wayback Machine
- ↑ "Patron Saints Index: Saint Pacian of Barcelona". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-06-10. Iliwekwa mnamo 2021-03-06.
- ↑ St. Pacian – Catholic Online
Viungo vya nje
haririMakala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |