Siriaki, Largi na wenzao
Siriaki, Largi na wenzao Kreshensiani, Memia, Juliana na Smaragdo (walifariki Roma, Italia, 16 Machi 306) ni kati ya mashahidi wa imani ya Kikristo waliouawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].
Siriaki alikuwa shemasi na mzinguaji.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- St. Cyriacus
- St. Cyriacus at the Baths (Cyriac Family History Project)
- Saint Cyriacus at the Christian Iconography web site
- Here Follow the Lives of Quirine and Juliet in Caxton's translation of the Golden Legend
- [1](San Ciriaco a Torre le Nocelle)
- Cyriacus
- From the Prologue of Ohrid
- Florindo Cirignano: San Ciriaco, un santo tra storia leggenda e arte Archived 16 Agosti 2018 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |