Siriaki, Largi na wenzao

Siriaki, Largi na wenzao Kreshensiani, Memia, Juliana na Smaragdo (walifariki Roma, Italia, 16 Machi 306) ni kati ya mashahidi wa imani ya Kikristo waliouawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Sanamu ya Mt. Siriaki akifukuza pepo.

Siriaki alikuwa shemasi na mzinguaji.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 8 Agosti[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.